1 Mambo ya Nyakati 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndio waliokuwa na jukumu la kusimamia uimbaji katika hema la ibada, yaani, hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ nao walitekeleza utumishi wao kulingana na maagizo waliyopewa.+
32 Ndio waliokuwa na jukumu la kusimamia uimbaji katika hema la ibada, yaani, hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ nao walitekeleza utumishi wao kulingana na maagizo waliyopewa.+