Yoshua 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na kutoka hapo ukaelekea mashariki upande wa mapambazuko ya jua hadi Gath-heferi,+ hadi Eth-kazini, ukaenda hadi Rimoni ukatiwa alama hadi Nea. Yoshua 21:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Dimna+ na kiwanja chake cha malisho, Nahalali+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne.
13 Na kutoka hapo ukaelekea mashariki upande wa mapambazuko ya jua hadi Gath-heferi,+ hadi Eth-kazini, ukaenda hadi Rimoni ukatiwa alama hadi Nea.