7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
6 Naye akatuma ujumbe kumwita Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia: “Je, Yehova Mungu wa Israeli hakutoa amri? ‘Nenda, usambae katika Mlima Tabori,+ nawe uchukue wanaume elfu kumi kutoka kwa wana wa Naftali+ na kutoka kwa wana wa Zabuloni.+