Mwanzo 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+ Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni. Yoshua 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi.
20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.
10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi.