Zaburi 89:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kaskazini na kusini—wewe mwenyewe uliziumba;+Tabori+ na Hermoni+—hupiga vigelegele kwa shangwe katika jina lako.+ Yeremia 46:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.
12 Kaskazini na kusini—wewe mwenyewe uliziumba;+Tabori+ na Hermoni+—hupiga vigelegele kwa shangwe katika jina lako.+
18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.