49 Haruni na wanawe+ walifukiza moshi wa dhabihu kwenye madhabahu ya dhabihu ya kuteketezwa+ na kwenye madhabahu ya uvumba,+ wakitekeleza majukumu yaliyohusiana na vitu vitakatifu kabisa, ili kufunika dhambi za Waisraeli,+ kulingana na yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu wa kweli alikuwa ameamuru.