1 Samweli 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Na palikuwa na mtu wa Ramathaim-sofimu+ wa eneo lenye milima la Efraimu,+ na jina lake lilikuwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu,+ Mwefraimu. 1 Mambo ya Nyakati 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa habari ya Elkana, wana wa Elkana walikuwa Zofai+ mwana wake na Nahathi mwana wake,
1 Na palikuwa na mtu wa Ramathaim-sofimu+ wa eneo lenye milima la Efraimu,+ na jina lake lilikuwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu,+ Mwefraimu.