Hesabu 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye Sihoni hakumruhusu Israeli apite katikati ya eneo lake,+ bali Sihoni akawakusanya watu wake wote na kwenda kukutana na Israeli nyikani, naye akaja kule Yahazi+ na kuanza kupigana na Israeli. Yoshua 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na Yahazi+ na Kedemothi+ na Mefaathi,+
23 Naye Sihoni hakumruhusu Israeli apite katikati ya eneo lake,+ bali Sihoni akawakusanya watu wake wote na kwenda kukutana na Israeli nyikani, naye akaja kule Yahazi+ na kuanza kupigana na Israeli.