30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+
20 Naye Sihoni hakuwaamini Israeli kwamba wavukie katika eneo lake, na Sihoni akakusanya watu wake wote pamoja, akapiga kambi katika Yahazi,+ wakapigana na Israeli.+