Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe mkaja mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu+ mfalme wa Bashani wakatoka kukutana nasi katika pigano, lakini tukawashinda.+

  • Waamuzi 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Sihoni hakuwaamini Israeli kwamba wavukie katika eneo lake, na Sihoni akakusanya watu wake wote pamoja, akapiga kambi katika Yahazi,+ wakapigana na Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki