10 Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kwa mwaka.+ Kwa sehemu ya damu ya toleo la dhambi+ la upatanisho ataifanyia upatanisho mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu. Ni takatifu zaidi kwa Yehova.”
24 Sasa makuhani wakawachinja na kutoa toleo la dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote;+ kwa sababu mfalme alisema toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi liwe+ kwa ajili ya Israeli+ wote.