Mambo ya Walawi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Na kusanyiko lote la Israeli likifanya kosa+ na jambo hilo limefichwa machoni pa kutaniko ya kwamba wamefanya moja kati ya mambo yote ambayo Yehova ameamuru yasifanywe na kwa hiyo wamekuwa na hatia,+
13 “‘Na kusanyiko lote la Israeli likifanya kosa+ na jambo hilo limefichwa machoni pa kutaniko ya kwamba wamefanya moja kati ya mambo yote ambayo Yehova ameamuru yasifanywe na kwa hiyo wamekuwa na hatia,+