-
2 Mambo ya Nyakati 29:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Makuhani wakawachinja na kutoa dhabihu ya dhambi kwenye madhabahu wakitumia damu yao, ili kufunika dhambi za Waisraeli wote, kwa sababu mfalme alisema kwamba dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu ya dhambi ilipaswa kutolewa kwa ajili ya Waisraeli wote.
-