2 Mambo ya Nyakati 29:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa makuhani wakawachinja na kutoa toleo la dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote;+ kwa sababu mfalme alisema toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi liwe+ kwa ajili ya Israeli+ wote.
24 Sasa makuhani wakawachinja na kutoa toleo la dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote;+ kwa sababu mfalme alisema toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi liwe+ kwa ajili ya Israeli+ wote.