Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hata hivyo, toleo lolote la dhambi ambalo sehemu ya damu+ yake itaingizwa katika hema la mkutano ili kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, halitaliwa. Litateketezwa kwa moto.

  • Waroma 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui+ tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa kwa uhai wake+ hata zaidi, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki