30 Hata hivyo, toleo lolote la dhambi ambalo sehemu ya damu+ yake itaingizwa katika hema la mkutano ili kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, halitaliwa. Litateketezwa kwa moto.
10 Kwa maana, ikiwa tulipokuwa adui+ tulipatanishwa na Mungu kupitia kifo cha Mwana wake,+ tutaokolewa kwa uhai wake+ hata zaidi, kwa kuwa sasa tumepatanishwa.
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+