Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Tena, kiwanja cha malisho+ cha majiji yao kisiuzwe, kwa sababu hicho ni miliki mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao.

  • Yoshua 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wana wa Israeli wakawapa Walawi,+ kwa agizo la Yehova, majiji hayo na viwanja vyake vya malisho kutoka katika urithi wao.+

  • Yoshua 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakawapa Kiriath-arba+ (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki),+ yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na viwanja vyake vya malisho kuzunguka pande zote;

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Hivyo wana wa Israeli wakawapa Walawi+ majiji hayo pamoja na viwanja vyake vya malisho.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Walawi waliviacha viwanja vyao vya malisho+ na miliki+ yao kisha wakaja Yuda na Yerusalemu,+ kwa sababu Yeroboamu+ na wanawe walikuwa wamewaondoa+ wasiwe makuhani kwa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki