Mwanzo 49:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ilaaniwe hasira yao,+ kwa sababu ni katili,+ na ghadhabu yao, kwa sababu hutenda kwa ukali.+ Acheni niwagawanye katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+
7 Na ilaaniwe hasira yao,+ kwa sababu ni katili,+ na ghadhabu yao, kwa sababu hutenda kwa ukali.+ Acheni niwagawanye katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.+
8 Na Lawi akamwambia:+“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vyake mtu aliye mshikamanifu kwako,+Uliyemjaribu huko Masa.+Ulianza kushindana naye kando ya maji ya Meriba,+