Hesabu 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majiji mtakayotoa yatatoka katika miliki ya wana wa Israeli.+ Kutoka kwa wengi mtachukua mengi, na kutoka kwa wachache mtachukua machache.+ Kila mmoja kulingana na urithi wake atakaochukua uwe miliki, atawapa Walawi sehemu ya majiji yake.”
8 Majiji mtakayotoa yatatoka katika miliki ya wana wa Israeli.+ Kutoka kwa wengi mtachukua mengi, na kutoka kwa wachache mtachukua machache.+ Kila mmoja kulingana na urithi wake atakaochukua uwe miliki, atawapa Walawi sehemu ya majiji yake.”