Hesabu 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majiji mtakayowapa yatatoka katika urithi wa Waisraeli.+ Mtachukua majiji mengi kutoka kwa makabila makubwa na majiji machache kutoka kwa makabila madogo.+ Kila kabila litawapa Walawi baadhi ya majiji yake kulingana na urithi ambao litapokea.”
8 Majiji mtakayowapa yatatoka katika urithi wa Waisraeli.+ Mtachukua majiji mengi kutoka kwa makabila makubwa na majiji machache kutoka kwa makabila madogo.+ Kila kabila litawapa Walawi baadhi ya majiji yake kulingana na urithi ambao litapokea.”