Mwanzo 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika kizazi cha nne watarudi hapa,+ kwa sababu kosa la Waamori halijawa kamili bado.”+ Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+ Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+