18 Lisiwe jambo gumu machoni pako unapomruhusu aondoke katika ushirika wako akiwa mtu aliyewekwa huru;+ kwa sababu kwa thamani mara mbili ya mfanyakazi wa kukodiwa+ alikutumikia kwa miaka sita, na Yehova Mungu wako amekubariki katika kila kitu ambacho ulikuwa ukifanya.+
14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+
16 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Katika muda wa mwaka mmoja, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu wote wa Kedari+ utafikia mwisho wake.