Ayubu 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Je, duniani hakuna kazi ya lazima+ kwa mwanadamu anayeweza kufa,Na je, siku zake si kama siku za mfanyakazi wa kukodiwa?+ Isaya 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+
7 “Je, duniani hakuna kazi ya lazima+ kwa mwanadamu anayeweza kufa,Na je, siku zake si kama siku za mfanyakazi wa kukodiwa?+
14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+