Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana mkono wa Yehova utatua juu ya mlima huu,+ na Moabu atakanyagwa chini+ katika mahali pake kama fungu la majani linavyokanyagwa chini katika mahali penye mbolea.+

  • Yeremia 48:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nami nitawakusanya mateka wa Moabu siku za mwisho,’+ asema Yehova. ‘Hukumu juu ya Moabu imefikia hapa.’”+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi,”+ asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, “Moabu atakuwa tu kama Sodoma,+ na wana wa Amoni+ kama Gomora, mahali penye upupu, na shimo la chumvi, na mahame yenye ukiwa, mpaka wakati usio na kipimo.+ Mabaki ya watu wangu watawapora, na mabaki ya taifa langu mwenyewe watawamiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki