Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+

      Atafanya maiti zijae.+

      Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+

  • Isaya 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tangazo juu ya Moabu:+ Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi,”+ asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, “Moabu atakuwa tu kama Sodoma,+ na wana wa Amoni+ kama Gomora, mahali penye upupu, na shimo la chumvi, na mahame yenye ukiwa, mpaka wakati usio na kipimo.+ Mabaki ya watu wangu watawapora, na mabaki ya taifa langu mwenyewe watawamiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki