16 Kulingana na hesabu kubwa ya miaka ataongeza thamani yake ya ununuzi,+ na kulingana na uchache wa miaka atapunguza thamani yake ya ununuzi, kwa sababu hesabu ya mazao ndiyo anayokuuzia.
18 Na ikiwa atalitakasa shamba lake baada ya Yubile, basi kuhani atafanya hesabu ya bei kulingana na miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile inayofuata, na kiasi fulani kitapunguzwa kutoka katika thamani iliyokadiriwa.+