- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 25:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        31 Hata hivyo, nyumba zilizo katika vijiji ambavyo havijazingirwa na ukuta zinapaswa kuhesabiwa kama mashamba. Zinaweza kukombolewa, nazo zinapaswa kurudishwa wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50. 
 
-