-
Mambo ya Walawi 25:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Hata hivyo, nyumba zilizo katika vijiji ambavyo havijazingirwa na ukuta zinapaswa kuhesabiwa kama mashamba. Zinaweza kukombolewa, nazo zinapaswa kurudishwa wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50.
-