Mambo ya Walawi 25:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Ataendelea kuwa pamoja naye kama mfanyakazi wa kukodiwa+ mwaka baada ya mwaka. Hatamkanyagia chini kwa uonevu+ mbele ya macho yako. 1 Wafalme 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+
53 Ataendelea kuwa pamoja naye kama mfanyakazi wa kukodiwa+ mwaka baada ya mwaka. Hatamkanyagia chini kwa uonevu+ mbele ya macho yako.
22 Na Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa;+ kwa maana wao walikuwa ndio mashujaa wa vita na watumishi wake na wakuu wake na maamiri wasaidizi wake na wakuu wa waendesha-magari wake na wakuu wa wapanda-farasi wake.+