Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Sasa kwa kuwa ilikuwa jioni, mtu mmoja tajiri wa Arimathea, anayeitwa Yosefu, ambaye yeye mwenyewe pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu, akaja.+

  • Marko 15:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza mwenye kusifika, ambaye pia alikuwa akiungojea ufalme wa Mungu, akaja.+ Akajipa moyo kuingia mbele ya Pilato na kuomba apewe mwili+ wa Yesu.

  • Yohana 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Basi baada ya mambo haya Yosefu kutoka Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu alikuwa akiwaogopa Wayahudi,+ alimwomba Pilato apate kuondoa mwili wa Yesu; naye Pilato akampa ruhusa.+ Kwa hiyo akaja na kuuondoa mwili wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki