Matendo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli kwa sababu hii nilisihi niwaone na kusema nanyi, kwa maana nimefungwa mnyororo+ huu kwa sababu ya tumaini+ la Israeli.” Waefeso 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo; ili niweze kusema kuhusiana nayo kwa ujasiri kama ninavyopaswa kusema.+
20 Kwa kweli kwa sababu hii nilisihi niwaone na kusema nanyi, kwa maana nimefungwa mnyororo+ huu kwa sababu ya tumaini+ la Israeli.”
20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo; ili niweze kusema kuhusiana nayo kwa ujasiri kama ninavyopaswa kusema.+