3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.
15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+