8 Ndipo akachukua siagi na maziwa na yule ng’ombe mchanga ambaye alikuwa amemtayarisha, akaweka mbele yao.+ Kisha yeye akaendelea kusimama kando yao chini ya mti walipokuwa wakila.+
23 Basi akawaandalia karamu kubwa; nao wakaanza kula na kunywa, kisha akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikundi vya waporaji vya Wasiria havikurudi+ tena hata mara moja katika nchi ya Israeli.