Mathayo 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Katika jiji lolote lile au kijiji chochote kile mtakapoingia, tafuteni ni nani humo anayestahili, mkae humo mpaka mtakapoondoka.+ Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+ Wagalatia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+ Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+
11 “Katika jiji lolote lile au kijiji chochote kile mtakapoingia, tafuteni ni nani humo anayestahili, mkae humo mpaka mtakapoondoka.+
13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+
6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+
2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+