Matendo 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akawachukua pamoja naye katika saa hiyo ya usiku akaosha mapigo yao; na, wote, yeye na walio wake wakabatizwa+ bila kukawia. Matendo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Krispo+ ofisa-msimamizi wa sinagogi akawa mwamini katika Bwana, na ndivyo na watu wote wa nyumba yake. Na wengi kati ya Wakorintho waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.
33 Naye akawachukua pamoja naye katika saa hiyo ya usiku akaosha mapigo yao; na, wote, yeye na walio wake wakabatizwa+ bila kukawia.
8 Lakini Krispo+ ofisa-msimamizi wa sinagogi akawa mwamini katika Bwana, na ndivyo na watu wote wa nyumba yake. Na wengi kati ya Wakorintho waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.