12 Lakini walipomwamini Filipo, aliyekuwa akitangaza habari njema ya ufalme wa Mungu+ na juu ya jina la Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na pia wanawake.+
15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+