-
Matendo 16:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 Basi wakati yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa, alisema hivi kwa kusihi sana: “Ikiwa nyinyi watu mmenihukumu mimi kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.” Naye akatushurutisha kwelikweli tuingie.
-