Matendo 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akawachukua saa hiyo ya usiku, akaosha vidonda vyao. Kisha yeye na watu wote wa nyumba yake wakabatizwa bila kukawia.+ Matendo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Krispo,+ ofisa msimamizi wa sinagogi akamwamini Bwana, yeye pamoja na watu wote wa nyumba yake. Na Wakorintho wengi waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.
33 Naye akawachukua saa hiyo ya usiku, akaosha vidonda vyao. Kisha yeye na watu wote wa nyumba yake wakabatizwa bila kukawia.+
8 Lakini Krispo,+ ofisa msimamizi wa sinagogi akamwamini Bwana, yeye pamoja na watu wote wa nyumba yake. Na Wakorintho wengi waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.