15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akatusihi: “Ikiwa mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova,* njooni mkae nyumbani kwangu.” Naye akatuhimiza sana twende.
15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+