Waamuzi 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Gideoni akaingia ndani, akatayarisha mwana-mbuzi+ na efa ya unga kuwa keki zisizo na chachu.+ Akaweka nyama katika kikapu, mchuzi akauweka katika chungu cha kupikia, kisha akamletea hapo nje chini ya ule mti mkubwa, akavipakua. 1 Samweli 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenoneshwa+ nyumbani. Kwa hiyo akamchinja haraka,+ akachukua unga, akaukanda na kuoka keki zisizo na chachu.
19 Na Gideoni akaingia ndani, akatayarisha mwana-mbuzi+ na efa ya unga kuwa keki zisizo na chachu.+ Akaweka nyama katika kikapu, mchuzi akauweka katika chungu cha kupikia, kisha akamletea hapo nje chini ya ule mti mkubwa, akavipakua.
24 Basi yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenoneshwa+ nyumbani. Kwa hiyo akamchinja haraka,+ akachukua unga, akaukanda na kuoka keki zisizo na chachu.