5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”
18 Tafadhali, usiondoke hapa mpaka nije kwako+ na kukuletea zawadi yangu na kuiweka mbele yako.”+ Basi akasema: “Mimi nitaendelea kuketi hapa mpaka utakaporudi.”