Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”

  • Mwanzo 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Abrahamu akakimbia kwenye mifugo akachukua ng’ombe-dume mchanga, mzuri na mwororo akampa mtumishi, naye akafanya haraka kumtayarisha.+

  • Waamuzi 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tafadhali, usiondoke hapa mpaka nije kwako+ na kukuletea zawadi yangu na kuiweka mbele yako.”+ Basi akasema: “Mimi nitaendelea kuketi hapa mpaka utakaporudi.”

  • Waebrania 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki