Mwanzo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+ Mwanzo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala. Waamuzi 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa Manoa akamwambia malaika wa Yehova: “Tafadhali, acha tukuzuilie, tukuandalie mwana-mbuzi.”+
3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+
3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.