Waamuzi 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kuna majani na pia chakula cha mifugo+ kwa ajili ya punda zetu, na kuna mkate+ na divai pia kwa ajili yangu na kwa ajili ya kijakazi+ wako na kwa ajili ya mtumishi+ aliye pamoja na mtumishi wako. Hakuna ukosefu wa hata kitu kimoja.”
19 Na kuna majani na pia chakula cha mifugo+ kwa ajili ya punda zetu, na kuna mkate+ na divai pia kwa ajili yangu na kwa ajili ya kijakazi+ wako na kwa ajili ya mtumishi+ aliye pamoja na mtumishi wako. Hakuna ukosefu wa hata kitu kimoja.”