Mwanzo 24:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Baada ya hayo, huyo mwanamume akaingia ndani ya nyumba, naye akaanza kufungua ngamia lijamu na kuwapa ngamia majani na chakula cha mifugo na maji ya kuosha miguu yake na miguu ya wanaume waliokuwa pamoja naye.+ Mwanzo 43:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi yule mtu akawaleta nyumbani kwa Yosefu, akawapa maji wapate kuoshwa miguu yao,+ naye akawapa chakula kwa ajili ya punda zao.+
32 Baada ya hayo, huyo mwanamume akaingia ndani ya nyumba, naye akaanza kufungua ngamia lijamu na kuwapa ngamia majani na chakula cha mifugo na maji ya kuosha miguu yake na miguu ya wanaume waliokuwa pamoja naye.+
24 Basi yule mtu akawaleta nyumbani kwa Yosefu, akawapa maji wapate kuoshwa miguu yao,+ naye akawapa chakula kwa ajili ya punda zao.+