Mwanzo 24:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Baada ya hayo, huyo mwanamume akaingia ndani ya nyumba, naye akaanza kufungua ngamia lijamu na kuwapa ngamia majani na chakula cha mifugo na maji ya kuosha miguu yake na miguu ya wanaume waliokuwa pamoja naye.+ Waamuzi 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.
32 Baada ya hayo, huyo mwanamume akaingia ndani ya nyumba, naye akaanza kufungua ngamia lijamu na kuwapa ngamia majani na chakula cha mifugo na maji ya kuosha miguu yake na miguu ya wanaume waliokuwa pamoja naye.+
21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.