Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na kambi yake yote, akaenda, akasimama mbele yake na kusema: “Tazama, sasa, hakika ninajua kwamba hakuna Mungu yeyote mahali pengine popote duniani isipokuwa katika Israeli.+ Na sasa, tafadhali pokea zawadi ya kubariki+ kutoka kwa mtumishi wako.”

  • 2 Wafalme 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo mfalme akamwambia Hazaeli:+ “Chukua zawadi+ mkononi mwako, nenda umpokee yule mtu wa Mungu wa kweli, nawe uulize+ Yehova kupitia kwake, na kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”

  • Methali 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+

  • Methali 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki