3 Nawe uchukue mkononi mwako mikate+ kumi na keki zilizonyunyiziwa kitu na chupa+ ya asali, nawe uingie kwake.+ Yeye ndiye atakayekuambia litakalompata mvulana huyu.”+
42 Na palikuwa na mtu aliyekuja kutoka Baal-shalisha,+ naye akamletea+ yule mtu wa Mungu wa kweli mkate wa matunda ya kwanza yaliyoiva,+ mikate 20 ya shayiri,+ na nafaka mpya katika mfuko wake wa mkate. Ndipo akasema: “Wape watu ili wale.”+