Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+

  • 1 Samweli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”

  • Wagalatia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki