16 Pia, sherehe ya mavuno ya matunda ya kwanza yaliyoiva+ ya kazi zenu, ya vitu mnavyopanda shambani;+ na sherehe ya kukusanya mwishoni mwa mwaka, wakati ambapo mnakusanya kazi zenu kutoka shambani.+
7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”