Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+

  • 1 Samweli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”

  • 1 Wafalme 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ikawa kwamba wakati huo Yeroboamu akatoka katika Yerusalemu, na Ahiya,+ Mshilo,+ nabii, akamkuta njiani, na Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya; na hao wawili walikuwa peke yao shambani.

  • Yeremia 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki