1 Wafalme 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wakati huo Yeroboamu alitoka Yerusalemu, na nabii Ahiya,+ Mshilo, akamkuta njiani. Ahiya alikuwa amevaa nguo mpya, na wote wawili walikuwa peke yao shambani.
29 Wakati huo Yeroboamu alitoka Yerusalemu, na nabii Ahiya,+ Mshilo, akamkuta njiani. Ahiya alikuwa amevaa nguo mpya, na wote wawili walikuwa peke yao shambani.