24 ‘Yehova amesema hivi: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu wana wa Israeli.+ Mrudi kila mmoja nyumbani kwake, kwa maana jambo hili limetokea kwa mwongozo wangu.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova,+ wakarudi nyumbani kulingana na neno la Yehova.+