2 Mambo ya Nyakati 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Yehova amesema hivi: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu.+ Mrudi kila mmoja nyumbani kwake, kwa maana jambo hili limetokea kwa mwongozo wangu.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova, wakarudi, ili wasiende kupigana na Yeroboamu.+
4 ‘Yehova amesema hivi: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu.+ Mrudi kila mmoja nyumbani kwake, kwa maana jambo hili limetokea kwa mwongozo wangu.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova, wakarudi, ili wasiende kupigana na Yeroboamu.+