Ayubu 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwake Yeye anayewakamata wenye hekima katika ujanja wao wenyewe,+Hivi kwamba shauri la watu werevu linafanywa haraka-haraka;+ Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+
13 Kwake Yeye anayewakamata wenye hekima katika ujanja wao wenyewe,+Hivi kwamba shauri la watu werevu linafanywa haraka-haraka;+ Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+